• Home
  • Winners
  • Help
  • Play
  • Swahili
SOKA NEWS AND VIDEOS

SOKA VIDEOS

Manchester City 0-2 Crystal Palace

Manchester City imefungwa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mechi ya ligi ya kuu England

Leicester City 0-2 Arsenal

Arsenal inaendelea kufanya vizuri baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Leicester City

Tottenham 0-3 Manchester United

Manchester United imepata matokeo ya 3-0 dhidi ya Tottenham kwenye mechi ya ligi kuu soka nchini England

Leicester City 0-1 Manchester City

Manchester City imeshinda 1-0 dhidi ya Leicester City kwenye mechi ya ligi kuu soka nchini England

Leed United 0-3 Liverpool

Liverpool imeshinda 3-0 dhidi ya Leeds United kwenye mechi ya ligi kuu England

SOKA NEWS.

+
Cancelo atua Bayern Munich

Beki wa Manchester City Joao Cancelo yuko tayari kujiunga na mabingwa wa Ujerumani BayernSoma Zaidi [+]

56 mins ago
+
Ratiba ya kombe la FA

Manchester City itacheza na Bristol City katika michuano ya Kombe la FA raundi ya tano.Soma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
McKennie atua Leeds United

Klabu ya Leeds wamekamilisha usajili wa kiungo wa Juventus Weston McKennie kwa mkopo Soma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
Chelsea kumshusha

Klabu ya Chelsea wameweka dau la euro 120m (£105.6m) kumnunua kiungo wa kati wa Benfica naSoma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
Gatuso aachana na Valencia

Kocha wa Valencia, Gennaro Gattuso ameachana na klabu hiyo baada ya kuingoza kwa miezi sabaSoma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
Brighton waitoa Liverpool FA Cup

Kaoru Mitoma alifunga goli dakika za lala salama huku Brighton wakiwaondoa Liverpool kutokaSoma Zaidi [+]

19 hrs ago
+
McKennie akalibia kutua Leeds United

Kiungo wa kati wa Juventus Weston McKennie atasafiri kwa ndege kuelekea Leeds kukamilishaSoma Zaidi [+]

20 hrs ago
+
Ahamada ajiunga Crystal Palace

Kiungo wa kati wa Stuttgart Naouirou Ahamada anafanyiwa uchunguzi wa kimatibabu kabla yaSoma Zaidi [+]

20 hrs ago
+
Brighton wakataa ofa ya pili ya Arsenal

Brighton wamekataa ofa ya pili kutoka kwa Arsenal kwa ajili ya kumnunua kiungo wa EcuadorSoma Zaidi [+]

20 hrs ago
+
Jonjo kutua Notingham Forest

Kocha wa Newcastle United, Eddie Howe amesema kiungo Jonjo Shelvey anazungumza naSoma Zaidi [+]

20 hrs ago

SOKA PICTURES

RB Leipzig wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la Ujerumani

Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa La Liga

Manchester City wakishangilia ubingwa wao wa EPL

AC Milan wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Seria A

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandolski akishangilia moja ya goli lake

© 2021 tigosports.co.tz | All Rights Reserved.