• Home
  • Winners
  • Help
  • Play
  • Swahili
SOKA NEWS AND VIDEOS

SOKA VIDEOS

Manchester City 0-2 Crystal Palace

Manchester City imefungwa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mechi ya ligi ya kuu England

Leicester City 0-2 Arsenal

Arsenal inaendelea kufanya vizuri baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Leicester City

Tottenham 0-3 Manchester United

Manchester United imepata matokeo ya 3-0 dhidi ya Tottenham kwenye mechi ya ligi kuu soka nchini England

Leicester City 0-1 Manchester City

Manchester City imeshinda 1-0 dhidi ya Leicester City kwenye mechi ya ligi kuu soka nchini England

Leed United 0-3 Liverpool

Liverpool imeshinda 3-0 dhidi ya Leeds United kwenye mechi ya ligi kuu England

SOKA NEWS.

+
Ronaldo kuondoka Man United

Manchester United inaweza kumruhusu Cristiano Ronaldo kuondoka Old Trafford wakati wa dirishaSoma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
Gyan kurejea timu ya taifa

Asamoah Gyan anajinadi kurejea kwenye safu ya kimataifa huku akitazama nafasi katika kikosi chaSoma Zaidi [+]

1 hrs ago
+
Klopp awapongeza wachezaji wake

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema anajivunia wachezaji wake kwa kupambana naSoma Zaidi [+]

2 hrs ago
+
Gomez atua Manchester City

Manchester City imethibitisha kumsajili beki wa chini ya miaka 21 wa Uhispania Sergio GomezSoma Zaidi [+]

2 hrs ago
+
Wolve wafanya usajili mpya

Wolves wamekubali ada ya rekodi ya klabu ya €45m (£38m) na Sporting Lisbon kumnunua kiungoSoma Zaidi [+]

5 hrs ago
+
Conte na Tuchel wahadhibiwa

Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel na mwenzake wa Tottenham Hotspur Antonio ConteSoma Zaidi [+]

5 hrs ago
+
Tetesi za soka Ulaya

Klabu ya Manchester United wako tayari kupambana na Chelsea kwa ajili ya kumchukuaSoma Zaidi [+]

5 hrs ago
+
Wachezaji wa Man United wanyimwa mapumziko

Kocha wa Manchester United Erik ten Hag alighairi siku yake ya mapumziko iliyopangwa Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Madrid yaanza ligi kwa ushindi

Real Madrid walianza kutetea taji lao la La Liga kwa ushindi mnono walipotoka goli moja chini naSoma Zaidi [+]

1 day ago
+
Tetesi za soka Ulaya

Cristiano Ronaldo alipewa ofa na Manchester United kwa wapinzani wao AC Milan na Inter Milan,Soma Zaidi [+]

1 day ago

SOKA PICTURES

RB Leipzig wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la Ujerumani

Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa La Liga

Manchester City wakishangilia ubingwa wao wa EPL

AC Milan wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Seria A

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandolski akishangilia moja ya goli lake

© 2021 tigosports.co.tz | All Rights Reserved.