• Home
  • Winners
  • Help
  • Play
  • Swahili
SOKA NEWS AND VIDEOS

SOKA VIDEOS

Sheffield United 2-3 Manchester United

Manchester United imeshinda 3-2 dhidi ya Shelfied United kwenye mechi ya ligi England

Crystal Palace 2-0 Shelfield United

Crystal Palace imeshinda 2-0 dhidi ya Shelfield United kwenye ligi kuu England

Brighton 3-3 Wolves

Brighton wametoka 3-3 dhidi ya Wolve kwenye ligi kuu soka nchini England

West Brom 0-4 Arsenal

Arsenal imeendeleza ushindi baada ya kushinda 4-0 dhidi ya West Brom

Leicester City 3-0 Brighton

Leicester City imeendlelea kupata matokeo baada ya kuwafunga 3-0 Brighton

SOKA NEWS

+
Bruno mchezaji bora Disemba EPL

Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Pogba ataka kuwafunga Liverpool

Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba amesema kuwa hawapo hatua moja na wapinzaniSoma Zaidi [+]

1 day ago
+
Samatta arejea uwanjani

Mshambuliaji wa Fenerbahce ya Uturuki, Mbwana Samatta amerejea rasmi Uwanjani baada Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Liverpool kuikaribisha Manchester United

Klabu ya Liverpool wikiendi hii itashika dimbani Anfield kuikaribisha Manchester United katika Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Dembele atua Atletico Madrid

Atletico Madrid imemsajili kwa mkopo mshambuliaji wa Ufaransa, Moussa Dembele kutoka Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Arsenal yabanwa na Crystal Palace

Klabu ya Arsenal imeshindwa kupata alama tatu baada ya kutoka 0-0 dhidi ya Crystal PalaceSoma Zaidi [+]

1 day ago
+
Rashford amwagia sifa Mourinho

Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford amesema kuwa menejaSoma Zaidi [+]

1 day ago
+
Bilbao yatinga fainali ya Super Cup

Klabu ya Athletic Bilbao watacheza fainali ya Super Cup dhidi ya Barcelona baada ya kuwafunga Soma Zaidi [+]

1 day ago
+
Morrison kukaa nje miezi sita

Kiungo wa Simba, Bernard Morrison atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi sitaSoma Zaidi [+]

1 day ago
+
Ighalo kuhamia Marekani

Mshambuliaji wa Nigeria Odion Ighalo, 31, anafikiria kuhamia katika ligi ya Marekani Soma Zaidi [+]

1 day ago

SOKA PICTURES

Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo

Kiungo wa Liverpool, Georginio wijnaldum akipiga shuti kwenye mechi dhidi ya Southampton

Kocha wa PSG, Mauricio Pochettino akiwa mazoezini na wachezaji wake

Kocha wa Chelsea, Frank Lampard akisalimiana na mchezaji wa Man City, Kevin De Bruyne

Wachezaji wa Real Sociadad wakishangilia moja ya goli lao

© 2019 tigosports.co.tz | All Rights Reserved.